Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood, (mwenye kanzu)  akiwakabidhi vifaa vya ujenzi mabati 30 na mbao 50 , akina mama wawili wa Mtaa wa Kihonda Kazkazini karibu  na Mizani,katika Manispaa ya Morogoro, ambao uwezo wao ni mdogo wa kukarabati Nyumba zao baada ya kuezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua kubwa iliyonyesha   Alasiri ya Desemba 27, mwaka huu mjini Morogoro
 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood, (wa pili kushoto)  akiwakabidhi vifaa vya ujenzi mabati 30 na mbao 50 , akina mama wawili wa Mtaa wa Kihonda Kazkazini karibu  na Mizani,katika Manispaa ya Morogoro, ambao uwezo wao ni mdogo baada ya nyumba zao kuezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua kubwa iliyonyesha Alasiri jDesemba 27, mwaka huu 
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood, (mwenye kanzu ) akiangalia  utelemshwani wa vifaa vya Ujenzi yakiwemo  mabati 30 na mbao 50 , ikiwa ni msaada wake kwa akina mama wawili wa Mtaa wa Kihonda Kazkazini karibu  na Mizani,katika Manispaa ya Morogoro, ambao uwezo wao ni mdogo wa kukarabati nyumba zao zilizoezuliwa  upepo mkali ulioambatana na mvua kubwa iliyonyesha Alasiri ya Desemba 27, mwaka huu mjini Morogoro. Picha zote na John Nditi wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. kaka umekosea katika description kuonyesha yuko wapi huyo mbunge katika picha mbili za mwanzo.Jitahidi kupitia basi kabla ya kupost.

    ReplyDelete
  2. Bwana Mithupu, mbona unatuchanganya na maelezo yako kuhusu huyo mbunge,Picha ya kwanza unasema "wa pili kushoto", picha ya pili unasema "wa kwanza kushoto" ya tatu unasema "mwenye kanzu" sasa kama mwenye kanzu ndio huyo huyo kwenye picha ya kwanza na ya pili mbona hajasimama kwenye hizo nafasi!!!!! dah!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...