Jamaa akiwa ameshika kiuno huku akiwa hajui la kufanya mara baada gari yake kupigana pasi na gari nyinge kwenye makutano ya barabara ya Kinondoni na Barabara ya Ally Hassan Mwinyi rodi.sasa sijui katika sheria za usalama barabarani ni nani atakuwa kamkosea mwenzie hapo??

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Kwa taarifa tu, siku zote mtu mwenyemakosa ni yule aliyesababisha obstruction! Au yule aliyekuwa kwenye Main road ndiyo mwenye right of way.

    Sasa kwakuwa picha yako haijapigwa toka bali kujua nani yuko kwenye barabara jubwa tayari, inabidi nimtetetee mwenye gari Nyekundu. Kwakuwa ameishamaliza manouver/kona na kuingia kwenye barabara kubwa ila huyo mwenye gari ya kijani ndiyo anaanza kuingia na ndiyo maana kamgonga upande wa nyuma wa gari jekundu!

    Natumaini nimeeleweka vizuri.

    ReplyDelete
  2. Jamaa mwenye gari yakijani sbb Tanzania tunaendesha kulia na mwenye starlet anaonekana akiwa menroad!

    ReplyDelete
  3. Michu huyu mwenye Green atakua kalianzisha,huyu mwenye Red huoni ka yupo MAIN RODI au??

    ReplyDelete
  4. Mwenye gari ya kijani huo ndio ali yield towards the main way na ndiye aliyetakiwa kuhakikisha hakua gari kulia kwake (lakini kama unavyoona amengia kizembe tu) na kusababisha ajali. Na madereva dezaini hiyo ndio waliojaa hapo Dar. Period!

    ReplyDelete
  5. Mwenye gari la kijani analazimisha kuingia barabara kuu ndiye kasababisha ajali ila inaelekea hata gari la mbele yao limekaa "tenge" kwa hiyo tukio ni zaidi ya gari moja!!!

    ReplyDelete
  6. Popobawa mzee wa majunguFebruary 24, 2012

    Mjomba Ankali! kuna tofauti kubwa sana kati ya madereva na waendeshaji! maana skuizi utaona mtu kakaa kwenye "vitz" miwani kubwaaaa! sijui kama hizo miwani ni kweli za kuendeshea gari au za kuchomea mageti watu wanavaa tu!huku black bery sjui berry black ikibofywa. kigari kidogoo lakini huo miki unaotoka ukasema tupo kilabuni kwa Mbowe. sasa kwanini wasikwaruzane???

    ReplyDelete
  7. inainekana huyo mwenye kigali cha kijani ndio mwenye makosa kwa muonekano ni kwamba anapotokea huyo mwenye kigali cha pink ndipo kwenye main road yani barabara kubwa na huyo mwenye kijani anatokea kwenye barabara ndogo kwahiyo anatakiwa kusubiri wa main road wapite ila kwa ujuha na ujuaji wa kibongo jamaa wa kijani kalazimisha kuchomeka bila kuruhusiwa.

    ReplyDelete
  8. gari ya kijani inakosa.

    ReplyDelete
  9. Wewe popobawa wewe..sina mbavu hapa nilipo.hayo mawani makubwa mara nyingi wanavaa dada zetu kwenye hizo vitz unazozisema.Kilichonichekesha ni huo msemo wako wa mawani ya kuchomea mageti au....haaaa haaa haaaaa.Labda wanachoma mageti manake....!!

    David V

    ReplyDelete
  10. Napingana kabisa na mdau wa Fri Feb 24, 01:03:00 PM 2012, na ninaungana kabisa na mdau wa Fri Feb 24, 01:44:00 PM 2012 anayesema kuwa kosa siku zote linategemea rangi za magari husika.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...