Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akiwapungia mkono watoto walioshiriki katika maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar,wakati alipowaalika chakula cha mchana katika ukumbi wa Salama Bwawani Hoteli jana,(kulia) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Mwinyihaji Makame,na Waziri wa Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mhe.Mohamed Aboud Mohamed.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Walimu wa Halaiki katika viwanja vya ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Zanzibar jana, wakati alipowaalika watoto walioshiriki katika maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar, katika chakula cha mchana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kwanini MAKAMO badala ya MAKAMU!

    KUNA NINI KATIKA LUGHA YETU HAPA.Au mipaka ndo inafanya utofauti au tunaheshimu lugha iliyozoeleka!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...