Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mh Radhia Msuya akiongea na Watanzania waishio jimbo la Gauteng nchini humo kuhusu maswala mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuimarisha umoja wao na kushirikiana kwa hali na mali
Balozi Radhia Msuya (kushoto) akiendelea na mkutano wake na Watanzania waishio Gauteng
Picha ya pamoja baada ya mkutano
Balozi Radhia Msuya na viongozi wa jumuiya ya Watanzania
waishio jimbo la Gauteng
Mfecane,Chief Dingiswayo,etc
ReplyDeleteDavid V
Wabongo tupo kila mahala. Anyone in Peru?
ReplyDeleteHongereni kwa kufanya mkutano. Nawatakia kila la heri katika kazi ya kuimarisha jumuiya ya watanzania Afrika Kusini (TALGA).
ReplyDeleteDkt Faustine Ndugulile
Kwa kweli tumefarijika sana kwa hatua hii njema kwa umoja wetu. Tunamwomba Balozi Radhia aendelee kutulea ili tuwe na mchango zaidi kwa nchi yetu.
ReplyDeleteMdau
Namwona Mayor wa Johanesburg Mzee Masika, Ibra (Precision) etc!! Congrats
ReplyDelete