Leo tumefikiwa na ugeni hapa UK kutoka nyumbani. Mheshimiwa DEO SANGA mbunge wa njombe kaskazini na mjumbe wa kamati ya bunge ya viwanda na biashara alifika kuangalia ni jinsi gani tunavyochapa kazi ofisini kwetu.


Sie kazi yetu kubwa ni kusafirisha magari lakini pia tunafanya ukaguzi wa magari yanayoenda KENYA tukishirikiana na kampuni ya QIS kukagua magari yote yaendayo kenya. kwa sasa tuliomba kukagua magari yaendayo Tanzania na tunasubiri majibu Kama tunavyojiita wazee wa kazi, vitu vyetu vinaonekana hadharani Mitambo ni mipya kabisa kama inavyoonekana na ipo ofisini kwetu sio kwa jirani

Kind Regards
CHRIS LUKOSI
Managing Director


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...