Waombolezaji wakishusha mwili wa marehemu Peter Mwenguo baada ya kuwasili viwanja vya Karimjee jijijini Dar es salaam leo kwa ajili ya misa na heshima za mwisho kabla ya kupelekwa katika makaburi ya Kinondoni kwa mazishi
 Sehemu ya waombolezaji katika misa na kutoa heshima za mwisho kwa marehemu
 Mwanafamilia akiwa na picha ya marehemu Peter Mwenguo
 Mwombolezaji akisoma biblia wakati wa misa
 Jeneza lenye mwili wa marehemu na wanafamilia wakiomboleza pembeni
Mjane wa marehemu (wa pili kulia), watoto na wanafamilia wakiwa katika misa na heshima za mwisho. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 22, 2012

    Wakristo tafuteni maombi na maombezi makali. Kuna mkakati wa adui dhidi yetu.

    Shetani na mawakala zake ashindwe na alegee!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...