Mshambuliaji wa Twiga Stars, Mwanahamisi Omori akijaribu kutaka kuwatoka mabeki wa Ethiopia wakati wa mchezo wa kufuzu fainali za mataifa ya Afrika kwa wanawake uliofanyika kwenye Uwanja wa Tanifa jijini Dar es Salaam. Ethiopia imeshinda 1-0 na kuitoa mashindanoni timu ya Tanzania.
Wachezaji wa Ethiopia pamoja na viongozi wao katika benchi la ufundi wakifurahia ushindi wa timu yao
Ubao wa Matokeo.
kweli ng'ombe wa masikini hazai....
ReplyDeleteDada zetu poleni kama TFF wangekuwa makini kama nyie mgepita kivuko hiki na kusonga mbele!
ReplyDeleteKaka yangu Tenga program ya football ya kina dada ikoje mbona twafuata tu mkumbo jamani Tanzania katulaani nani hatuna mipangilio ya shughuli zetu nani katulogaaa!!