Bi Harusi Mtarajiwa akipata picha na mama yake mzazi wakati wa sherehe yake ya kufundwa iliyofanyika Bowie, Maryland nyumbani kwa Aunty Grace Sebo.

Bi harusi mtarajiwa akipata picha ya pamoja na Dada yake Mariam (kulia) na Mama yake mzazi.

 Bi Harusi mtarajiwa akiwa na mpambe wake katika picha ya pamoja na watoto waliowasindikiza kwa kumwaga maua.

 "Pole mama" ndivyo wasemavyo somo wa Bi Harusi, Sophia Mombasa (kulia) na Datuu wakijaribu kumtuliza mama yake Achotto alipokua akilia kwa furaha wakati wa kapu la mama.

Juu na chini ni zawadi alizotoa Sophia Mombasa (somo wa Bi Harusi) kwa Achotto akisindikizwa na marafiki zake.
WanaDMV nao wakipata picha ya kumbukumbu.
Bi Harusi mtarajiwa (wa nne toka kulia) akiwa na ndugu, jamaa na marafiki katika picha ya pamoja.
WanaDMV wakiwa katika picha ya pamoja na WanaATL kwenye Kitchen Party ya Achotto iliyofanyikia College Park Maryland, Nchini Marekani.

Wageni waalikwa waliokuja kutoka Massachusetts wakipata picha ya pamoja.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 05, 2012

    mama mazonge tumekumiss sana hongera sana mama (northampton )

    ReplyDelete
  2. Hongera Bi Harusi mtarajiwa na kila la kheri siku ya siku ikifika INSHA ALLAH. Nimependa hao watoto wanne waliosindiiza. MASHA ALLAH wamependeza sana, they're so cute! Mwenyeez Mungu awakuze, wawe watoto wema, awaongoze katika kheri na kuwanusuru shari zote.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 05, 2012

    MashaAllah mmependeza! Tunawaombea kila la kheri. Amin.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 05, 2012

    halohalooooooooooooooooooo
    mmependeza

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 05, 2012

    nadhani mtakuwa nyie niwastaarabu maana nyingi kitchen party hapa mambo yanayofanyika huku na maneno yanayosemwa na baadhi hayapendezi mtoto kuwa msimamizi akayasikia

    otherwise all the best

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 05, 2012

    watu wa majuu utwajua tu...wana mng'aro fulani

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...