Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Dr. Abdallah Omari Kigoda akiangalia alama zinazowekwa na Wakala wa Vipimo  kwenye jiwe sahihi ambazo ni muhuri pamoja na namba mbili za mwisho za mwaka husika.
 
 Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Dr. Abdallah Omari Kigoda (wa kwanza kulia) pamoja na Makamu wa pili wa Rais Zanzibar  Mh. Balozi Seif A. Iddi ( wa pili kulia) wakipata ufafanuzi toka kwa Kaimu Mkurugenzi Huduma za Ufundi Ndg. Peter Masinga namna ya kutambua jiwe bandia kama picha inavyoonesha mara baada ya ufunguzi wa maonesho hayo pindi walipotembelea  banda la Wakala wa Vipimo.
 
 Waziri akiendelea kupata ufafanuzi wa mizani hiyo ya Digital


Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Dr. Abdallah Omari Kigoda akipata ufafanuzi kuhusiana na matumizi ya mizani ya Digital mara  alipotembelea banda la Wakala wa Vipimo kwenye maonesho ya Sabasaba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 05, 2012

    Mhe.Dr. Kigoda Mgosi wa Kaya,,,piga kazi Mgosi piga kazi !

    Wabane zaidi baada ya kupiga rungu lako TBS na sasa endelea na Idara zingine!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...