UONGOZI WA HOTELI YA JB BELMONT YA JIJINI DAR ES SALAAM ,UNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MKURUGENZI MKUU WA HOTELI HIYO,NDG. JUSTICE BAGUMA (PICHANI) ALIEFARIKI ASUBUHI YA LEO WAKATI AKIWAHISHWA HOSPITALI KWA MATIBABU YA UGONJWA WA SHAMBULIO LA MOYO ULIOKUWA UKIMSUMBUA.

GLOBU YA JAMII IMEPOKEA KWA MASIKITIKO MAKUBWA TAARIFA HIYO,NA INAUNGANA NA WAOMBOLEZAJI WENGINE KWENYE MSIBA HUO MKUBWA.

TAARIFA KAMILI ITAFUATA BAADAE JUU YA TARATIBU YA MSIBA HUO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. This is really shocking and disturbing news! May the Almighty God rest his soul in eternal peace. Amen

    ReplyDelete
  2. He was a Pan East African,he created jobs for many of us!!May his soul rest in peace.Amen

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...