Meneja masoko wa Heineken Tanzania,Caroline Kakwezi (kushoto) akimeana mkono na Mshindi wa timu ya Liverpool Foosball,Godfrey Musikula (kulia) wakati wakimzawadia mfano wa tiketi ya Ndege ya kwenda mjini Amsterdam mara baada ya kumalizika kwa mashindano hayo hapa nchini.Wengine pichani toka kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Heineken Tanzania,Uche Unigwe, Innocent Venance mmoja wa washindi wa michuano ya foosball kutoka team Liverpool, wadau wa Triniti bar & Restaurant Jackie na Erica.
Team Champions kutoka Samaki samaki na Team Liverpool Foosball wakichuana vikali katika fainali iliyodhaminiwa na Heineken Tanzania hivi karibuni jijini Dar es salaam.
Meneja kutoka Hyatt Regency - The Kilimanjaro,Timothy Mlay alishinda taulo pamoja na zawadi nyingine kutoka Heineken Tanzania baada yakupatia score ya mechi kati ya Dortmund na Bayern Munich hivi karibuni jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Heineken Tanzania,Uche Unigwe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...