Msimamizi wa Masoko na Biashara wa Tigo, Gaudens Mushi  akimtazama mmoja ya washindi wa droo ya tano ya Promotion ya Miliki Biashara yako na Tigo, Furaha Hasani akipunga mkono kwa watu mara baada ya kukabidhiwa Bajaji yake katika eneo la Tandika  Jijini Dar es Salaam.
 Meneja Uzalishaji Tigo, Hussein Seif akimkabidhi funguo ya Bajaji mmoja ya washindi wa droo ya tano ya Promotion ya Miliki Biashara yako na Tigo, Bi Happines Ndeki Mkazi wa Kinondoni (Kushoto) mara baada ya kukabidhiwa Bajaji yake katika eneo la Tandika  Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Bajaji kuimiliki si haba mwanawane!

    Baada ya mshikemshike wa usafiri mbovu , kwa kuzunguka na mabasi hadi kituo cha mwisho na kupandia madirishani hatimaye wamefanikiwa nao kuingia Petrol Stesheni kujaza mafuta badala ya kugombaa na Makondakta na wapiga debe wa Mabasi!

    Wenye nyumba msije kuona wamemiliki Bajaji mkawapandishia Kodi za Nyumba!

    Sio nini wala nini hata wenye nyumba mnaeza kuingia kwenye Droo nanyi mkaibuka Washindi!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...