Kijana mwenye umri wa miaka 18 Ibanda Ruhumbika (kati) mwanamuziki wa KiTanzania anayekuja juu katika ulimwengu wa Jazz. Hivi karibuni  alitumbuiza wapenzi wa Jazz (akiwa na Jon Batiste) kwenye Club maarufu ya Ronnie Scotts jijini London. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Asante sana dogo. Endelea kulitangaza jina la nchi yetu Tanania.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...