Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Mh.Ibrahim Raza nje ya jengo la Bunge mjini Dodoma hapo jana.Mh Raza amempongeza Mh Kassim Majaliwa kwa uchapaji wake kazi na pia amemtaka kuendelea na kasi yao kubwa ya kutumbua majipu kuhakikisha nchi yetu inapanda kiuchumi na pia kuirudisha nchi katika mstari wa kuheshimu sheria za nchi na misingi yake.
Home
Unlabelled
Mbunge wa Kiembe samaki Mh.Raza mafagilia Waziri Mkuu Majaliwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...