Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Kiembe Samaki Mh.Ibrahim Raza nje ya jengo la Bunge  mjini Dodoma hapo jana.Mh Raza amempongeza Mh Kassim Majaliwa kwa uchapaji wake kazi na pia amemtaka kuendelea na kasi yao kubwa ya kutumbua majipu kuhakikisha nchi yetu inapanda kiuchumi na pia kuirudisha nchi katika mstari wa kuheshimu sheria za nchi na misingi yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...