Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Nashauri wahudumiaji wa daraja hili ikiwemo NSSF iwalipe watu wa kufanya usafi ili mataka taka na plastiki yasitawanyike ovyo kwenye daraja. Hata hivyo itabidi wale wanaotaka kutumia daraja kwa event yo yote nao walipie kiasi fulani ili kusaidia kwenye kuweka usafi.

    ReplyDelete
  2. The mdudu, Mjomba Michuzi umeniangusha kwa hili la Kigamboni? au la Nyerere au umetumiwa hiyo habari na kwa nini hujastukia hilo jina?

    ReplyDelete
  3. Maharusi hawachelewiwacha wakanyage kwa raha nchini kwao.

    ReplyDelete
  4. Wahusika watenge bajeti ya usafi wa daraja kutoka kwenye mapato ya tozo ili liwe katika hali ya usafi.

    ReplyDelete
  5. Hao lazma watakuwa wasukuma! bure MAgufuli alisema wazaramo! kumbe nduguze mwenyewe ndio aliwalenga ha ha ha ha !

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...