Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Rwegasira akiwa katika Jukwaa akipokea Salaam ya heshima kutoka kwa Gwaride Maalum lililoandaliwa na Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi Daraja la Pili katika sherehe za kufunga Mafunzo hayo ya Maofisa wa Jeshi la Magereza, Chuo cha Magereza Kiwira kilichopo, Rungwe Mbeya(kushoto) ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani, Meja Jenerali Rwegasira akikagua moja ya Gadi ya Wanaume inayoundwa Gwaride rasmi la sherehe hizo.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Rwegasira akimvisha cheo cha Mkaguzi Msaidizi wa Magereza mmoja wa Wanafunzi Wahitimu kwa niaba ya Wahitimu wote wa Mafunzo ya Uongozi Daraja la Pili. Mwanafunzi huyo amefanya vizuri katika Mafunzo hayo.

(Picha zote na Lucas Mboje).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...