Kijana mjasiriamali Diana Moshi (Kulia) akimkabidhi keki Mkurugenzi wa kitengo cha Mawasiliano Airtel, Beatrice Singano Mallya (Kushoto) kama shukrani yake kwa Airtel baada ya kuwezeshwa kupitia mpango wa Airtel FURSA "Tunakuwezesha" kwa kukabidhiwa vifaa vya kisasa vilivyomsaidia kuboresha biashara yake ya kupika keki na kumsaidia kupata mafanikio. Makabidhiano hayo yalifanyika katika makao makuu ya ofisi za Airtel Morocco jijini Dar es Salaam.
Home
Unlabelled
MJASIRIAMALI ALIYEWEZESHWA NA AIRTEL FURSA AISHUKURU AIRTEL.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Great. How many actually come back to say thank you? This reminds me of a biblical story.
ReplyDelete