Keki ya Siku ya Mtoto wa Afrika toka Benki ya CRDB, Tawi la Azikiwe Premier, la Jijini Dar es Salaam.
 Mfanyakazi wa Benki ya CRDB, Tawi la Azikiwe Premier, Nelwike Mwambapa, akiwasha mshumaa kuashiria uzinduzi wa sherehe za Siku ya Mtoto wa Afrika tawini hapo.
 Watoto wakishangalia fash fash za maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika kwa Benki ya CRDB, Tawi la Azikiwe Premier, jijini Dar es Salaam.
 Mgeni rasmi kwenye sherehe hizo, ni Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, ambaye ni mteja wa CRDB Bank, Emmanuel Kawishe, akimlisha keki mmoja wa watoto waliohudhuria sherehe hiyo. Katikati ni Mkurugenzi wa Tawi hilo la Azikiwe Premier, Fabiola Mussula, na kushoto ni ofisa wa tawi hilo, Nelwike Mwambapa.
 Mfanyakazi wa Benki ya CRDB, Tawi la Azikiwe Premier, Nelwike Mwambapa, akimlisha keki mmoja wa watoto, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika tawini hapo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 17, 2016

    Ben 10 na siku ya motto wa afrika, what a what?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...