Mkuu wa Mafunzo na Utendaji kivita Meja jenerali Issa Nasoro akikagua Paredi ya mapokezi katika kambi ya Bavuai Zanzibar alipofika kutembelea kambi ya Timu teule za JWTZ zitakazozishikiri mashindano ya majeshi kwa nchi za Afrika mashariki yatakayofanyika Kigali Rwanda mwezi Agost Mwaka huu.
Mkuu wa Mafunzo na Utendaji kivita Meja jenerali Issa Nasoro (Kushoto)akiambatana na mkuu wa kambi ya Bavuai Luteni Kanali Mohamed Adam (katikati)walipofika Zanzibar kutembelea kambi ya Timu teule za JWTZ zitakazozishikiri mashindano ya majeshi kwa nchi za Afrika mashariki yatakayofanyika Kigali Rwanda mwezi Agost Mwaka huu.
Mkuu wa Mafunzo na Utendaji kivita Meja jenerali Issa Nasoro akiongea na Wanamichezo katika kambi ya Bavuai Zanzibar alipofika kutembelea Timu teule za JWTZ zitakazozishikiri mashindano ya majeshi kwa nchi za Afrika mashariki yatakayofanyika Kigali Rwanda mwezi Agost Mwaka huu.
Mkuu wa Mafunzo na Utendaji kivita Meja jenerali Issa Nasoro akiongea na Wanamichezo katika kambi ya Bavuai Zanzibar alipofika kutembelea Timu teule za JWTZ zitakazozishikiri mashindano ya majeshi kwa nchi za Afrika mashariki yatakayofanyika Kigali Rwanda mwezi Agost Mwaka huu.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...