Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama akizungumza wakti alipozindua Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Julai 6, 2016. Kushoto kwake ni Naibu Waziri , Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Dkt. Abdallah Possi na wapili kushoto kwake ni Naibu Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Mavunde.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) baada ya kuzindua bodi hiyo kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Julai 6, 2016. Kushoto kwake ni Naibu Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Mavunde na Wapili kuli kwake ni Naibu Waziri , Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Dkt. Abdallah Possi . Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Bodhi ya Wadhamini wa Bodi hiyo, Profesa, Samwel Wangwe.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...