Mhifadhi
katika hifadhi ya Taifa ya Tarangire Beatrice Ntambi akizungumza na
waandishi wa chama cha waandishi mkoani Arusha(APC)waliokwenda
kutembelea hifadhi hiyo kwa lengo la kujifunza na kutangaza utalii wa
ndani
Sehemu ya waandishi wa habari wakisikiliza kwa makini
Picha ikionesha fuvu la mnyama aina ya Tembo
Sehemu ya makundi makubwa ya tembo wanaopatikana katika hifadhi ya Taifa ya Tarangire
Twiga wakionekana vizuri katika hifadhi ya Tarangire
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...