Kwa Simu Toka London- Na Freddy Macha
Joseph "Joe" Warioba akifafanua kifupi jitihada za kuunganisha Watanzania wa kila aina Uingereza chini ya ulezi wa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mhe. Dk Asha-Rose Migiro.
Mkutano huu wa kipekee ulikutanisha Watanzania na marafiki zao zaidi ya 300 mjini Reading Jumamosi 23 Juni 2018 bila ubishani na migongano ya miaka iliyopita. Tukio hili la kihistoria limeweka mikakati ya kimaendeleo- kuacha siasa (na hisia) za kibinafsi na kilafi zilizotupaka matope Walowezi tunaoishi nchi ya Malkia Elizabeth...


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...