Missy T (kati) akiwa na Loveness Mamuya (kushoto) na Shamis siku ya Ijumaa June 1, 2018 katika hotel ya Hilton iliyopo Rockville, Maryland siku Missy Temeke na mumewe Mohamed Matope walipofutarisha. Picha na Vijimambo Blog na Kwanza Production kwa udhamini wa Kilimanjaro studio.
Wageni waliofika kwenye futariiliyoandaliwa na Missy T na mumewe Mohamed Matope siku ya Ijumaa June 1, 2018 katika hotel ya Hilton iliyopo Rockville, Maryland nchini Marekani.
Wageni waalikwa wakipata futari siku ya Ijumaa katika hotel ya Hilton iliyopo Rockville, Marylanda nchini Marekani.
Wageni waliofika kwenye futari iliyoandaliwa na Missy T na mumewe Mohamed Matope
Futari ikiendelea
Futair lililoandaliwa na Missy T na mumewe Mohamed Matope.
Mwambata wa Jeshi Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani Brigedia Jenerali Adolphh Mutta akiwa na mkewe Agnes Mutta kama moja ya wageni walioalikwa kwenye futari ya Missy T na mumewe Mohamed Matope siku ya Ijumaa June 1, 2018 Rockville, Maryland.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...