Boti ya Beach Clianup iliotengenezwa kwa Plastiki iliowasili Zanzibar ikitokea Nchini Kenya ambayo imebeba Ujumbe wa Kuhifadhi mazingira ikiwa katika Bandari ya Malindi mjini Zanzibar.
Nahodha Muundaji wa Boti ya Plastiki Ali Abdalla Ali(SKANDA)akisalimiana na Wananchi wa Zanzibar na kuwapa ujumbe wa kuhifadhi mazingira katika hafla iliofanyika Bustani ya Forodhani ya kuipokea Boti iliotengenezwa kwa Plastiki iliobeba ujumbe wa kuhifadhi mazingira iliowasili Zanzibar ikitokea nchini Kenya.
Rais wa Baraza la Mazingira Duniani Siim Kiisler akitoa hotuba kuhusiana na Mazingira katika hafla iliofanyika Bustani ya Forodhani ya kuipokea Boti iliotengenezwa kwa Plastiki iliobeba ujumbe wa kuhifadhi mazingira iliowasili Zanzibar ikitokea nchini Kenya.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed akitoa hotuba kuhusiana na kuhifadhi mazingira mara baada ya kuipokea Boti iliotengenezwa kwa Plastiki iliobeba ujumbe wa kuhifadhi mazingira iliowasili Zanzibar ikitokea nchini Kenya.PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Mkuu wa Wilaya ya Mjini Marina Joel Thomas katikati akiwapamoja na viongozi mbalimbali wakifanya usafi wa mazingira kuondosha Chupa na Mifuko ya Plastiki na uchafu mwengine katika ufukwe wa Bahari ya Forodhani katika hafla ya kuipokea Boti iliotengenezwa kwa Plastiki iliobeba ujumbe wa kuhifadhi mazingira iliowasili Zanzibar ikitokea nchini Kenya.
Mkuu wa Wilaya ya Mjini Marina Joel Thomas akizungumza na Wananchi na Vikundi mbalimbali vilivyoshiriki Usafi wa Mazingira katika ufukwe wa Bahari ya Forodhani katika hafla ya kuipokea Boti iliotengenezwa kwa Plastiki iliobeba ujumbe wa kuhifadhi mazingira iliowasili Zanzibar ikitokea nchini Kenya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...