Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akizungumza jambo na Mkuu wa Msafara wa Wabunge na Watumishi wa Bunge la Uganda na Mnadhimu Mkuu wa Upinzani wa Bunge hilo Ssemujju Ibrahim Ofisini kwake Jijini Dodoma hii leo.
Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akizungumza jambo na Ujumbe wa Wabunge na Watumishi wa Bunge la Uganda waliopo ziarani hapa nchini Ofisini kwake Jijini Dodoma hii leo.
Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha
ya pamoja na Ujumbe wa Wabunge na Watumishi wa Bunge la Uganda
waliomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma hii leo. (Picha na Ofisi ya
Bunge)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...