Na Editha Edward -Tabora
Mvua Zinazoendelea Kunyesha nchini zimesababisha Mafuriko Kwa Wakazi Tabora wanaoishi katika mtaa wa Mwalitani (Freemason) Kata Ya mpera manispaa ya Tabora ambapo mvua hiyo imeanza kunyesha usiku wa kuamkia Leo ambapo imepelekea wakazi wa mtaa huo kushindwa kulala usiku kucha na nyumba zao kujaa maji
Jeshi la zima moto na uokoaji mkoa wa Tabora lilifika katika eneo hili na Kuanza kuwokoa baadhi ya watu walioshindwa kuvuka maji yaliyokuwa yamewazingira
Aidha Mkuu wa mkoa Agrrey Mwanri ambaye pia alifika katika tukio hilo usiku huo amewaomba wananchi waliopata maafa hayo wasirudi katika nyumba zao zilizojaa maji hadi pale oparesheni itakapokamilika.
PichaniJeshi la zimamoto na uokoaji wakiokoa wananchi ambao nyumba zao zimefurikwa na maji usiku wa kuamkia leo.
Nyumba zilizofikwa na mafuriko mtaa wa Mwalitani maarufu kama Freemason Kata ya mpera.
Pichani ni mtaa wa Mwalitani uliokumbwa na mafuriko
Mvua Zinazoendelea Kunyesha Nchini Zasababisha Mafuriko Kwa Wakazi Wa Tabora
Mvua Zinazoendelea Kunyesha nchini zimesababisha Mafuriko Kwa Wakazi Tabora wanaoishi katika mtaa wa Mwalitani (Freemason) Kata Ya mpera manispaa ya Tabora ambapo mvua hiyo imeanza kunyesha usiku wa kuamkia Leo ambapo imepelekea wakazi wa mtaa huo kushindwa kulala usiku kucha na nyumba zao kujaa maji
Jeshi la zima moto na uokoaji mkoa wa Tabora lilifika katika eneo hili na Kuanza kuwokoa baadhi ya watu walioshindwa kuvuka maji yaliyokuwa yamewazingira
Aidha Mkuu wa mkoa Agrrey Mwanri ambaye pia alifika katika tukio hilo usiku huo amewaomba wananchi waliopata maafa hayo wasirudi katika nyumba zao zilizojaa maji hadi pale oparesheni itakapokamilika.
PichaniJeshi la zimamoto na uokoaji wakiokoa wananchi ambao nyumba zao zimefurikwa na maji usiku wa kuamkia leo.
Nyumba zilizofikwa na mafuriko mtaa wa Mwalitani maarufu kama Freemason Kata ya mpera.
Pichani ni mtaa wa Mwalitani uliokumbwa na mafuriko
Mvua Zinazoendelea Kunyesha Nchini Zasababisha Mafuriko Kwa Wakazi Wa Tabora
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...