Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mamia ya Wananchi wa Kasulu mkoani Kigoma katika Mikutano ya Kampeni za CCM leo tarehe 17 Septemba 2020
Umati wa watu waukimsikiliza Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi na Mwenyekiti wa chama hicho,Rais Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia
Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia Wananchi wa Kasulu Vijijini mkoani Kigoma katika mikutano ya Kampeni ya CCM leo tarehe 17 Septemba 2020.
Wafuasi wa CCM na Wananchi wakishangilia ujio wa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi na Mwenyekiti wa chama hicho,Rais Dkt John Pombe Magufuli














Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...