Mama Maria Nyerere akiingia katika uwanja wa Uhuru leo machi 20, 2021 kwaajili ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika viwanja vya Uhuru mkoa wa Dar es Salaam, ambapo Ibada ya kumuaga imefanyika.
Mama Janeth Magufuli akiwa ameshikiliwa wakati akiingia katika uwanja wa Uhuru leo Machi 20, 2021, ambapo Ibada ya kumuaga inafanyika na Viongozi mbalimbali wataaga na baadae wananchi wa Dar es Salaam wataaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...