Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera akipokea cheti cha shukrani kwa namna Tume ya Uchaguzi ilivyowashirikisha na kufanikisha utatuzi wa changamato kwa watu wenye ulemavu. Anaekabidhi cheti hicho leo Septemba 1,2021 ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Foundation for Disabilities Hope, Michael Salali. (Picha na NEC).
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera akipokea cheti cha shukrani kwa namna Tume ya Uchaguzi ilivyowashirikisha na kufanikisha utatuzi wa changamato kwa watu wenye ulemavu. Anaekabidhi cheti hicho leo Septemba 1,2021 ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Foundation for Disabilities Hope, Michael Salali. Wengine pichani ni Mshauri wa Taasisi hiyo, Mch.Kalebu Muhawi (kushoto) na Mkuu wa Idara ya Utawala, Joyce Macha.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera akimkabidhi nakala za ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Foundation for Disabilities Hope, Michael Salali (kushoto) leo Septemba 1,2021 muda mfupi baada ya taasisi hiyo ya FDH kukabidhi cheti cha shukrani kwa namna Tume ya Uchaguzi ilivyowashirikisha na kufanikisha utatuzi wa changamato kwa watu wenye ulemavu. 
Baadhi ya viongozi wa Tume wakifatilia mkutano huo
Mshauri wa Taasisi hiyo, Mch.Kalebu Muhawi akizungumza  
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera (kushoto) akizungumza katika kikao hicho na pamoja nae ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu, Gerald Mwanilwa
Mwenyekiti wa Taasisi ya Foundation for Disabilities Hope, Michael Salali (kulia) akizungumza.Anaemfuatia ni Mkuu wa Idara ya Utawala, Joyce Macha na Mshauri wa Taasisi hiyo, Mch.Kalebu Muhawi.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...