RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Watendaji wa Serikali wa Mikoa miwili ya Kaskazini na Kusini Pemba katika mkutano wake wa majumuisho ya ziara yake katika Mikoa hiyo, mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba.



BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dk.Hussein Ali Mwinyi,(hayupo pichani) akihutubia katika mkutano wake wa majumuisho ya ziara yake katika Mikoa ya Kaskazini na Kusini Pemba, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba



VIONGOZI wa Vyama vya Siasa Kisiwani Pemba wakifuatilia hutuba ya majumuisho ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) baada ya kumaliza ziara yake katika Mikoa miwili ya Pemba, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba.



WAKUU wa Taasisi na Idara za Serikali Kisiwani Pemba wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa mkutano wake wa majumuisho ya ziara yake katika Mikoa miwili ya Kaskazini na Kusini Pemba, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba.



WAKUU wa Mashirika ya Serikali wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa mkutano wake wa majumuisho ya ziara yake katika Mikoa miwili ya Kaskazini na Kusini Pemba, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba.



MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Mattar Zahor Masoud akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kuzungumza katika mkutano wake wa majumuisho ya ziara yake katika Mikoa Miwili ya Kaskazini na Kusini Pemba uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...