Meneja Mwandamizi wa Chapa ya Coca-Cola Tanzania, Kabula Nshimo akifafanua kwa wafanyakazi wa kampuni ya Bonite Bottlers Ltd, Moshi mkoani Kilimanjaro kuhusu uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka kipindi cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya.
Mkuu wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya Bonite Bottlers Ltd, Christopher Loiruk akizungumza na wafanyakazi wa Bonite Bottlers Ltd, mkoani Kilimanjaro kuhusu uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka kipindi cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya.

Meneja Mwandamizi wa Chapa ya Coca-Cola Tanzania, Kabula Nshimo (aliyekaa chini kulia) akifurahia pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya Bonite Bottlers Ltd, Moshi mkoani Kilimanjaro kuhusu uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka kipindi cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Bonite Bottlers Ltd mkoani Kilimanjaro wakifurahia wakati wa uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka kipindi cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya.
Baadhi ya matukio ya shamrashamra mtaani wakati wa uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’ katika kampuni ya Bonite Bottlers Ltd, Moshi mkoani Kilimanjaro. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka kipindi cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...