Na Mwamvua Mwinyi,Pwani

Naibu Waziri wa Ardhi Ridhiwani Kikwete ambae pia ni mbunge wa Jimbo la Chalinze amewaasa wananchi wa Chalinze kuendelea kuliombea Taifa na Serikali ili kufikia malengo yaliyokusudiwa .

Aliyasema hayo wakati aliposherehekea Sikukuu ya Eid  kwa kuswali na wanakijiji wenzake wa Kijiji cha Msoga, na kwenda kuwaona wazee wa mji wa Chalinze. 

Aliwataka wananchi pia kuwa na Umoja na kushikamana pasi kusahau kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan afanikishe malengo ya kufikia maendeleo makubwa ya uongozi wa Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...