Najua mlioko ughaibuni denda lawadondoka kwa kuona mhogo mbichi toka shambani punde. hapa ni soko la tandika na zao linatokea mwanarumango, bei mapatano kuanzia tsh. 20/- hadi 300 kipande kimoja. Mpo hapo?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. mhh walahi mate yamenitoka!!Sasa hapo ikaangwe na chachandu/kachumbari ya Uswazi mitaa ya Migomigo au Ilala..
    Usitanie sana Michuzi!!vibaya hivyo!

    ReplyDelete
  2. Kazi safi Michuzi,kila la kheri

    ReplyDelete
  3. Hi!

    ahsanteni kwa salaaam. niko nje ya mji, nikirudi nitaongeza vitu.

    ReplyDelete
  4. Hi!

    ahsanteni kwa salaaam. niko nje ya mji, nikirudi nitaongeza vitu.

    ReplyDelete
  5. Ongeza vitu baba!

    ReplyDelete
  6. Tutawezaje kusaidia uuzaji wa mhogo huu mzuri hivi nje ya nchi jamani?

    ReplyDelete
  7. Michuzi,

    Kaka mihogo hii nikija unipeleke,denda kweli lantoka mwenzio.

    Mike,LA.

    ReplyDelete
  8. Nkya ndugu yangu nani atatafuta soko angalia hata yale maboga yaliyopo katika picha ya b log hii, hakuna mtu anayewajali hata wabunge hawajadili sana juu ya wakulima na mbaya zaidi wizara husika wanapewaa ambao hata kilimo hawakijui.Nane Nane si sherehe za kuwaenzi wakulima kwa kutangaza bi mpya ya mazao yao bali wafanyabiashara wameshaiteka siku hiyo wakulima wanabaki hoi kwa kutumiwa jina lao.Hawa tangu UHURU hawajakombolewa na hata Kilimo ni uti wa Mgongo wa Taifa illikuwa ni hadithi tu,maskini sijui watakombolewa na nani!

    ReplyDelete
  9. Huku tulipo, USA, houston,Texas mihogo ipo. Lakini ladha tu sikama ya nyumbani. Huwa tunajaribu kukumbukia shule ya msingi kwa kukanga mihogo na kushushia kinywaji baridii. Vile vile masap, huwa anatengeneza ya kuchemsha na nazi..
    Keep it up Mr. Michuzi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...