Home
Unlabelled
Bongo inatisha!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Umezipanga vizuri hizi picha; wengine wanabembea kwenye baiskeli na wengine wanakula misele kwenye limousine la Idd Janguo-The new and upcoming young Tanzanian millionare!- Wabongo wanamkoma huyu mchizani na ndugu zake!
ReplyDeleteHizi picha umeziweka zinasema mengi, hii ya gari unatuambia bongo mambo poa...juu yake tunaona wengine na baiskeli. Kumbuka wimbo wa remii..masikini na mkokoteni...
ReplyDeleteHahahaaaa! Picha yaongea maneno alfu ama sio?
ReplyDeleteHahahaaaa! Picha yaongea maneno alfu ama sio?
ReplyDeleteBrother Michuzi, naona unavyoiangalia bongo kwa jina la tatu. Ukiwa na akili timamu bongo ina vituko kwelikweli lakini wenzangu na mie watasemaBongo New York.
ReplyDeleteMuulizeni Iddi hili ndio lile la scam ya Insurance Houston baada ya kufukukuzwa majuu?
ReplyDeleteLimo zuri. Idd alilinunua kwa rafiki yake mpalestina huko houston bada ya kuwa na benz 500 iliyokula mzinga.
ReplyDeleteLakini hongera kwake.Ni mmoja ya ku"hustle".
Kila la kheri Mr. Michuzi
Tanzania ni ni nchi masikini lakini wananchi wake sio masikini michuzi! wewe kama uamini tembelea maeneo ya kujidai ndio utaelewa mtu haoni shida kutoa milioni kuenjoy wakati mbagala serikail inatakiwa kutoa misaada na haitoshi.
ReplyDelete