sura tanashati za watanzania waliohudhulia mkutano wa utandawazi wa helsinki mara tu baada ya mkutano huo kufungwa rasmi leo. mtafute mwana mfalme wa blogu alipo. mbele wa pili kushoto ni katibu mkuu wizara ya kazi, vijana na michezo, abubakar raja, balozi wetu misri kassim mwawado (nyuma yake) akifuatiwa na balozi wetu ethiopia Mzee mangachi, nyuma yake ni balozi wetu india mama eva nzaro, wa kulia mbele ni mwanaharakati na kiongozi wa tango (mwavuli wa ngo bongo) maria shaba. mimi simo kwa kuwa nilikuwa nasnepu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 31, 2009

    jamani hii picha ni ya miaka ya nyuma tusidanganyane!!!!!

    ReplyDelete
  2. Broo unawekaje matangazo kwenye blog yako!?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...