Rais wa Finland akisalimiana na mtanzania Ismail Abdulnuru Suleiman wa NGO inayoshughulikia elimu ya ukimwi kwa watoto iitwayo Watoto Salama ya Dar, pamoja na Bi. Hope Gabone wa NGO ya Mwanza iitwayo Kuleana, wakati wa uzinduzi wa juhudi za kuchangisha fedha kuzisaidia NGO hizo leo katika viwanja vya Esperance hapa Helsinki. Kiasi cha Euro 500,000 zinatarajiwa kupatikana kutoka katika michango hiyo inayoratibiwa na Operation a Day's Work ya Finland.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...