bodi ya dayosisi ya musoma iliyoundwa kufanya mchakato wa kumfanya mwalimu nyerere awe mtakatifu ikianza kazi rasmi katika kanisa la butiama jumamosi iliyopita. soma www.mbongo.com kwa habari zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Kaazi kweli kweli! Mungu anawachora tu wanavyomwingilia kazi.

    ReplyDelete
  2. Sikubaliani nawe bwana anonymous!! mambo ya IMANI yaache kabisa usijezua mtafaruku humu ndani.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 26, 2010

    huyo anaye sema MUNGU anawachora si mkristu!! na haijui biblia. atafute mahali palipo andikwa itaneni watakatifu. be careful my friend!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...