Home
Unlabelled
heshima ya 'mashujaa'
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzii Eee!! Si unajua sisi weusi hatufii (Katika kasheshe ya weupe na weusi)
ReplyDeleteSasa wamelibandikia nini??...nakupa siku saba ukalibandue ...kha! utumwa gani huu?
ReplyDeleteMichuzi hili ni tatizo kubwa... na baada ya hapo serekali zetu ilitakiwa zichukue hatua za makusudi kabisa kujenga minara ya kina kinjeketile na mkwawa, pia kuandika orodha ya mashuja wake woote waliokufa kupigania uhuru...hapa SA naona wanafanya hivyo! nilikwenda pale Victoria falls Zambia na kukuta list ya majina yoote ya kigeni...mimi na rafiki yangu Nathan Phiri wote tulisikitika sana kwa hilo!! picha nzuri michuzi, wewe ni mwandishi...mwendo safi!
ReplyDelete