
kushoto ni meya mpya wa jiji la dar alhaj adam kimbisa akikabidhiwa ofisi na meya aliyepita kleist sykes leo karimjee hall. kimbisa alipita bila kupingwa katika uchaguzi wa madiwani wa dar, ambapo sykes hakuwemo kwani alianguka kwenye kura za maoni mwaka jana, na nafasi yake ya udiwani kata ya kivukoni ikabebwa na huyu meya mpya, ambaye pia ni katibu mtendaji wa chama cha msalaba mwekundu tanzania.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...