Home
Unlabelled
mtalii zenj
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
askari katoa jicho huyo, duh!
ReplyDeleteYaani huyo Polisi anaonekana mzembe kabisaa, nadhani hawezi hata kufukuza mwizi, Sembuse jambazi mwenye Gun. Mhmm!! Jamaa inaonekana anawaza deal (ushwa) tuu Mhmm!! tutafika kwelii? Hivi maaskari wote wako hivyoo? au ni kama asilimia ngapi? Inabidi waingizwe Gym haoo.
ReplyDeletesijui wanazungumza lugha gani maana afande anaonekana kutatizwa na mawasiliano na huyo nyapu wa kichina isiwe tuu anatafuta msokoto maana watalii wote sio wema na mpambe hapo pembeni kakaa kishambenga
ReplyDeleteHuyo mzee amekaa kidereva taxi kabisaaaaa...
ReplyDeleteHiyo kali,
ReplyDeleteNaamini kabisa huyo mvimba macho alikimbilia kwa askari ili apate msaada, akakuta njemba ni Maimuna. Sasa ha washikaji si wanaweza kumpoteza njia na kumwelekeza kunako vibaka wakalamba mali zake?