
mtangazaji mkongwe nchini julius nyaisanga a.k.a anko j nyaisanga akiimba 'jojina' wa marijani huku mpoki bukuku a.k.a mzee wa sumo wa magazeti ya citizen/mwananchi na emmanuel wa majira/bizinesitaimz wakiitikia usiku wa kuamkia siku ya muungano kule slipway kwenye pati ya waandishi ilodhaminiwa na vodacom


anatoa zile za bakulutu sio! kipepeo
ReplyDeleteBukuku hapa kalowa jasho kwa kuimbia je likifika sebene akimwaga mauno itakuwaje?eti...........
ReplyDeleteSasa hapa nani alikuwa mwimbaji muongozaji, au wote walikuwa katika chorus nawaona wote kwa pamoja kama vile wanaitikia. Inaonesha shuguli hii ilipendeza sana babake.
ReplyDelete