Home
Unlabelled
kiti cha mwalimu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
NAKUBALIANA NA HILO KABISA!!!! ILA HAYO MATAJI HAYANA CLASS YA MHESHIMIWA HAYATI JKN KWA KWELI TAFUTENI MASHADA MAZURI....AHSANTENI.
ReplyDeletesawa kabisa, mzee wa kanisa huyu bwana.
ReplyDeletewewe umeona mataji tuu na hayo makochi jeeee?
ReplyDeletekwa hiyo mama maria haendi tena kanisani?
ReplyDeletehakuwa mungu kama kila mtu akifa viti havikaliwi tena kanisani basi watu wangekuwa wanakaa nje ,au hilo kanisa liachwe makumbusho ili watu wakijatembelea hapo butiama waone kiti cha mwalimu .
ReplyDeletekulindwa ,washington D.C.
kulindwa ulifaulu kwa kiwango gani o level? una uwezo mkubwa sana wa kufikiria....emergencypoison.
ReplyDeleteNYIE KAMA KWENU NYERERE NI "KILA MTU"ENDELEENI NA MAWAZO HAYO HAYO.
ReplyDeleteWAO KATIKA MATASHI YAO WAMEONA HIYO INAFAA,NA KWELI INAFAA NI AINA YA HESHIMA YAO KWA MZEE WETU.MUWE MNATAFUTA WATU WA KUTUKANA/KUBWABWAJA-MNA ADABU KWELI NYIE?HASA WEYE UNAYEJIONA UPO WASHINGTON.
mama Maria bado anakaa kwenye hicho kiti cha kwake.sasa anayejiona anafaa,akakae yeye!
ReplyDelete