joni mwaipopo acha hizo!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Michuzi namfahamu jamaa huyu kuwa mkereketwa namba moja wa Yanga. Watoto wa Jangwani wakizipiga nesho yeye anatumbuiza ama kudensi dk 120. Songombingo jina lake. Kwani aitwani?

    Pia siusahau mchango wa Hayati Mheshimiwa Abas Gulamali. Kama unayopicha ya kamanda huyu wa yanga nibandikie. Aliipenda Yanga kama familia yake, ingawaje hakuwa nazo kama mshindani wake Azim.Kipindi hicho naishi Morogoro.Mnazikumbuka 'Sharuks'. Nyuma ziliandikwa majina ya watoto ya jangwani.Yaani we acha-ga tu. Mnakumbuka Afrika mashariki na kati nakivubo 1993. Simba walienda kwa ndege wakarudi kwa meli na basi. Yanga walienda kwa meli na basi wakarejea kwa Ndege na Kombe, huku kila mchezaji kazawadiwa TV ya rangi. TV kipindi hichi ilikuwa dili. Michuzi alikuja nayo ya mtumba kutoka Jeremani akabidi aiandikishe kama gari vile. Au siyo?

    Na picha ya Saidi Mwamba kama ipo imwage.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 13, 2006

    PICHA KAMA HIZI WATU HAWATOI MAONI KWA KUWA HAWAONI SEHEMU YA KUANZIA MATUSI!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...