Heri Ya Pasaka nyoooooote

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. She is pretty and sexiest

    ReplyDelete
  2. hivi michuzi picha ulizonazo ni huyu huyu tu, msela tunachoka na hii midemu ya lundenga tunataka picha za maendelo ya utu wa watu wetu na sio mitindo yan kuiga ya hawa bwana ebu tuwekee picha ZA kIKWETE KIFANYA KAZI ZA NCHI NA ZA SUMAYE NA LOWASA BWANA

    ReplyDelete
  3. mbona akiweka za maendeleo ya nchi hamcomment? mnang'ang'ania humo humo kwenye picha za nani kafanya nini eg lundenga's girls,mitindo,harusi
    he is doing business here, unadhani naye hana akili atoe vitu ambavyo watu hawahitaji? na kwani amekwambia yeye mwanasiasa? kuna web nyingi zinazoeleza kikwete kafanya nini na mambo yanayohusiana na hayo nenda ''kikweteshein.com''

    ReplyDelete
  4. Ahsante Anon kwa kumueleza huyo mtu hapo juu. Michuzi anaweka picha za kila aina humu ndani, lakini watu wanapenda kucomment kwenye picha za watoto wazuri. Kuna picha kibao humu za Kikwete lakini watu hawacomment sana lakini za totoz ndiyo zimejaa comments.

    ReplyDelete
  5. kutokana na akili zenu kujaa huo uozo ndio sababu ya kuwaza hayo.ama kweli ukimwi utawamaliza! kalaga bao hakuna mzungu atakae kuja na kutuondolea umasikini tuliojaa nao, tutabaki kuomba omba tu kizazi mpaka kizazi, raisi mpaka raisi.fanyeni kazi.taifa lapoteza nguvu kazi kila siku sababu ya ukimwi.we unatumbua mimacho ktk kompyuta kutazama mwanamke si wako na hapo hapo mawazo machafu yakutuma kutoa maoni kuhusu huyo huyo mwanamke.fanya kazi.Lyimo

    ReplyDelete
  6. Wewe Lyimo, ukitumbua mimacho kumwangalia Kikwete ndio umefanya kazi na utaondoa umaskini? Usilete za kuleta hapa fungua blog yako uweke kina Kikwete na huyo Sumaye wake kama unataka sana

    ReplyDelete
  7. Akina Lyimo wanapata wapi muda wa kuangalia hii tofuti wakati wanataka kupambana na umaskini.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...