toka astaafu bwm anajichanganya sana siku hizi. hapa ni hafla ya kuchangia mfuko wa telefood ambapo masoud masoud a.k.a dj niga j (wa ymca enzi hizo na dj hayaji kalikali

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Picha safi michuzi, nitakuandikia baadaye kipindi kijacho kuhusu kujua ratiba za huyo Mfalme Mkapa nataka kufanya jambo fulani ikiwezekana na kuteta naye wakati tukinywa kahawa.

    ReplyDelete
  2. hapo masoud analia au,

    ReplyDelete
  3. Mbona huyu Masoud kachoka sana jamani?Au miwaya?

    ReplyDelete
  4. hapan anakunywa sana gongo

    ReplyDelete
  5. Fine job again Michuzi! Namkumbuka sana Masoud (Dj Niga Jay) enzi za YMA mchana/jioni na Marehemu Kalikali.

    ReplyDelete
  6. mheshimiwa weight hiyo ohoo!

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 15, 2006

    MASOUD MASOUD MASOUD!NDIO NINI SASA?UTAMDONDOKEA MZEE!TULIA BASI,HATA UKIONGEA KWA MBALI ANASIKIA TU!HAKUNA MATE YANAYOMRUKIA MZEE?NAONA ALIKUWA HAONGEI NA WENGINE ZAIDI YAKO!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...