dada rose abdalla bosi wa kampuni ya antelope travellers akichekelea zawadi ya shirika la ndege la afrika kusini lililomzawadia kuwa mmoja wa mawakala wakubwa wa mwaka 2006. kulia ni balozi wa afrika kusini nchini, sindiso mfenyana. hii ilikuwa juzi usiku hoteli ya sea cliff

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Hhmm, wajameni huyu dada nadhani kapewa zawadi kutokana na urembo wake.

    ReplyDelete
  2. Jamani huyu mama ni balaa,umeshawahi kumuona kwanza unaweza ukasema wale watoto waliochanganya rangi...Ni mzuri mno na kama huyo aliyekaa naye ni mumewe nampa pole...Kuna watu wanadoea hapo.....

    ReplyDelete
  3. Watu wengine bwana, umeshaambiwa ni Balozi wa Afrika Kusini, bado unasema kama ni mumewe, inaonyesha humfahamu na huo uzuri unaotuambia ni wa kutokana na picha ya Michuzi. ama kweli duniani kuna mambo

    ReplyDelete
  4. huyu ni mtoto wa Anna Abdalla nini?

    ReplyDelete
  5. alikuwa nyumba ndogo ya marehemu kimambi...stori ndeeefu hapo..makubwa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...