alberet mangwea, banana zahir ally zorro na dully sykes wakiimba wimbo wa marijani 'jojina' kwenye hafla ya kili music awards. wimbo huo ni kama wimbo wa taifa hapa bongo, kila msanii na kila bendi lazima auimbe ndio watu wafurahi. vipi huko ughaibuni, ngoma droo?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. hivi huyo aliye vaa t-shirt ya arsenal analipwa pesa au kavaa tu.wanamziki kiwanja wanalipwa kwa kile wanacho vaa (ni matangazo).lakini tutafika mwendo mdundo.

    ReplyDelete
  2. Jojina inatesa hata majuu, lazima uimbe ili ufagiliwe

    ReplyDelete
  3. WEWE ANONY~1 ACHA KUTUFUNGA KAMBA, WANAMUZIKI WA KIWANJA HAWALIPWI KWA KUVAA JEZI ZA TIMU WAZIPENDAZO BALI KAMA WAKIVAA NGUO ZA ADIDAS, PUMA, NIKE etc NDIO HAYO MAKAMPUNI YANALIPA KWANI WANATANGAZIWA BIASHARA

    ReplyDelete
  4. WEWE WA MWISHO ACHA UJINGA UJUI YA KWAMBA NDANI YA HIYO JEZI KUNA VIJITANGAZO VIDOGO VIDOGO. KUJA JUU NA KUKULUPUKA UTADHANI UNATAKA KULIPUKA ATA KAMA HUPO KIWANJA WE FALA TU UJUI KITU.WANAMZIKI WANALIPWA WEWE KILA KITU MATANGAZO.KAA NDO UJE KWA SERA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...