Home
Unlabelled
berlin
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi,
ReplyDeleteSishangai kwamba mlimwona mzushi wakati huo, na najua sababu si kwakuwa mlijua Ujeremani haikuwa na uwezo wa kuandaa bali kama kawaida yenu wabongo mliona uzushi mtu kuanza kuongea mambo ya miaka dazeni (12) ijayo. Hilo ni fundisho kwa wabongo kuwa wenzetu wanaendelea kwa sababu ya kuona mbele. Sisi aah tunajua leo tu kesho itajijua.
tanzania miaka 12 mingi sana, huku hiyo ni kama miaka 6 tu jinsi life ilivyo fast. wamewapa waandae sasa wanatuambia weusi kuna miji hatuwezi kwenda kwa sababu ya ubaguzi, mambo ya kipuuzi sasa hayo.
ReplyDelete