siku hizi huna haja ya kuja na gari toka ughaibuni. hata machinga wanauza mitaani siku hizi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 22, 2006

    Mr. Michuzi hii kali, mimi sasa hivi nahangaika kutafuta kaji gari cha kuri\udia nyumbani, na nina pewa macharge kibao...gari kma hizi ni karibu ya kiasi gani ?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 22, 2006

    Huna haja ya kutafuta huko na kurudi nalo huku utasumbuka bure, wewe njoo tu huku kuna show room kibao karibu kile kona ya Dar kuna show room kwa sasa na magari ya aina nyingi sana ya kijapan ndio mengi....

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 22, 2006

    Vitara zinapatikana kwa 7m baloon 5m RAV4 12m labda useme unataka gari gani tukuulizie bei yake

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 22, 2006

    kuuliza si ujinga!ama sivyo.yaani hizo bei hapo pamoja na USHURU ama?

    ReplyDelete
  5. hizo bei ni pamoja na ushuru wala usipate hofu ukinunua hiyo gari unaenda ku-change jina tu

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 22, 2006

    Shukrani sana wakina Anony 10:45 AM & 12:19 AM, mimi naulizia kagari cha Million nne tu, na 1.6 to 2.0 lts....maana mafuta huko nyumbani ni kasheshe. Maoni yenu tafadhali.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 22, 2006

    N wewe Mwa Blog unaulizia sana hee? Kabila gani wewe? Mnyakyusa au? Mbona wanyakyusa hawako hivyo? Wao ni matumizi tu sasa wewe maswalili miamia!!!!!!!!!! njoo nunua gari nenda kwenu Mbeya kusalimia.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 22, 2006

    We anony 5:14 PM huna akili ndio nyie unarudisha watu nyuma...hata nikiwa Mnyakyusa, Mhehe, Mdigo hapa tunaelimishana....ndugu yetu Mr. Michuzi anatuelimisha mambo ya nyumbani. Hutaki ku-share information soma IPPEMEDIA.

    ReplyDelete
  9. kwa milioni <4 unapata starlet bomba yenye engine ya 4FE (1.5) ambayo ni sawa na ya corolla limited, hii gari inakuwa na EFI system iko very economy kwenye mafuta sema tu usinde vichochoroni kwa yule demu wako maana itagusa chini

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 23, 2006

    Shukrani sana RHXOQSA, yule demu wa makongo nitamkatia.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...