Home
Unlabelled
magessa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Duuuh! kweli watu tunakuwa....Mr.Michuzi mimi naweza kupata wapicontact zake huyu?
ReplyDeletesasa huyu ndio alikuwa mrembo aliyependeza kama miss tz kuliko wote nashangaa kwanini alishindwa halafu mhh nakumbuka alivaa suti beach.
ReplyDeletejamani huyu nasikia eti anatoka mashamba ya miwa kule Mtibwa ni kweli?aisee hicho cheusi kilichoko juu ya midomo yake huwa kinaniacha hoi sana, nielezeni kama yupo single ili nikirudi nifunge safari ya kwenda Turiani kumuona mzee Magessa ili tumaliziane kabisa kabla sijaanza kufanya kazi hapo Bongo.
ReplyDeleteJamani sio Magessa ni Magesse
ReplyDeleteAsante sana kwa kurekebisha jina la baba mkwe mtarajiwa, sasa inaonekana wewe ni close-relative wao, nipatie nyeti nilizouliza hapo juu kabla ya masahihisho yako, tafadhali naomba nifanyie hilo naweza kuwa mmoja wa family hiyo ya jamaa zako, sawa?
ReplyDeleteDuu.. aise mi si mwana familia wala mtu wa karibu yake. Ni mwananchi tu mwingine wa kawaida. Ila kutokana na vyombo vya habari, jina lake ni Magesse na Si Magessa. Hivyo ombi lako bado libaki kwa Wasomaji wengine wenye kumjua zaidi.
ReplyDeleteBasi samahani sana nilidhani ni close relative wao.Nashukuru pia kwa kuliuza wazo hilo kwa wasomaji wengine.Nitakuwa mvumilivu maana mvumilivu hula mbivu.
ReplyDeleteBr. uliyepania kuwa baba mkwe wa mzee Magesse usijali, ni kweli anatoka Turiani na Mzee Magesse ni muumini mzuri tu hapa Bwagala Kanisani, kama ukirudi Bongo basi fanya kuja kanisani utapata muda wa kuongea naye,ila kwanza lazima uwasiliane na Happy mwenyewe, nilifanya naye mafundisho ya Kipaimara hapa, analipa sana.
ReplyDeleteNadhani Br.Michuzi ndiye aliyeandika MAGESSA, hivyo si kosa la huyu jamaa aliyepania kuchukua jumla huyo Miss. Nasikia yupo Bondeni anafanya biashara ya mitindo.Jaribu kufuatilia kwenye mitandao utampa, ama wasomaji msaidieni huyu ndugu.Happy hana makuu sana amelelewa vizuri kama Bakila Mwanakuzi.
ReplyDeletekweli kabisandiye yeye aliyenimisilidi kwenye kopsheni yake hapo chini ya picha. Lamaana mkwe mtarajiwa hajui kama nimekosea jina lake mpaka sasa.Asante wewe uliye huko Turiani nadhani ni mwanzo mnzuri kwangu nikija Bongo nitakutafuta nitumie contacts zako.Vipi Mtibwa?
ReplyDeleteWajina unavutia sana.
ReplyDeleteDogo mbona umechelewa jumamosi itakuwa ndio harusi yake anaolewa na mnigeria hapa bondeni pole sana
ReplyDeleteJamani huyu jamaa aliye amua naona tumsaidie wale wanaotembelea mitandao punde mpatapo taharifa tumjulishe mwenzetu si mnajua. Kuoa au kuolewa siyo jambo dogo hivyo watanzania wanao hamua kwa moyo mmoja kuachana na ukapera hatuna haja ya kuwa saidia. Mimi binafsi nitajitahidi kuwenye mitandao kutafuta na punde michuzi atakapopata habari wewe turushie tu. Mambo kusaidiana. magesa/e katulia bwana.
ReplyDeleteThis comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDeletenaomba kuuliza simon kitururu wewe ni mdogo wa dave kitururu? jamaa yangu sana
ReplyDeletekama ndio nifahamishe basi
unashangaa wanigeria kujaa bondeni na kufanya mambo makubwa uliza huko usa wanachanganya watu hawa watu nduguzanguni wana malengo makubwa sana
ReplyDeleteila magessa kuolewa na mnigeria umechemsha tuuu.
Ndio mdogo wake Davie
ReplyDeleteSimon unaye dada anaitwa Rose Kitururu naomba niambie basi huyu sista ana roho nzuri sana.
ReplyDeleteSimjui huyo Rose, nafikiri ni jina tu limefanana
ReplyDeleteSijakata tamaa na siamini kama kweli Miss anaolewa na Mnigeria.Any way, wako wema wataniletea taarifa katika mtandao.Nadhani kama ni kweli Mnigeria kafika bei basi ni kule kuona kwamba lazioma niolewe na mtu wa nje, hata mimi ningeowa mtoto wa Tobago ambaye ni best sana kwangu lakini naona Nyumbani ni nyumbani.Nasubiri kujua.
ReplyDeletemnaigeria hana maana yoyote mataputapu wewe happy unachemsha
ReplyDeleteJamani mi naona huyu aliyetuambia kuwa happy anaolewa south ni muongo, au wenzangu mnasemaje?
ReplyDeleteok simon basi naomba sana nisaidie kuwasalimia davie na maya nilikuwa naishi nao mji kasoro bahari kwa sasa nipo nje ya nchi nilitoka Tz mwaka jana katikati.
ReplyDeleteTatizo ni kwamba siwezi kuwaambia kua anonymous anawasalinia.Tembelea blog yangu nitumie meseji ni jue ninani. Unaweza kutembelea kwa ku click jina langu kwenye meseji hii
ReplyDeletenasikis siku hizi kabadili jina anaitwa millen anafanya umodeling chini ya Jan Malan production huko sauzi. aliwahi kutokea kwenye jarida moja la mitindo nimesahau jina lake, walahi hapo ukimuona MILLEN huwezi jua!
ReplyDelete